Dua
10-09-2009, 12:53 AM
Rais anapoanguka au kupoteza fahamu
Hivi kweli baada ya kuzimia ati nilisikia alirudi na kuendelea na risala au hotuba sijui ni nini? Hivi kweli Wabunge wote wanafanywa watoto wadogo na kuendekeza huu ujinga. Jakaya Kikwete ni mgonjwa na wakati wowote jambo lolote linaweza kutokea, kwa nini wabunge waliopewa dhamana wanaweka maisha ya Watanzania million 40 kwenye mashaka ya kuwa na kiongozi ambaye uwezo wake wa kuongoza hauko sawa sawa? JK hayuko fit kuongoza kwa nini anang’ang’ania madaraka na kuuza nchi kama njugu? Au kwa sababu anafahamu atatutoka hivi karibuni?
Wabunge fanyeni kazi yenu na kutuondolea hii dhihaka. Wananchi wamewapa dhamana kuona nchi haitetereki – rais mgonjwa hawezi kuwashughulikia mafisadi - muda mwingi ni wa kuangalia afya yake, hata nchi ikivamiwa atakuwa amezimia. Vifungu vipo kisheria vya kumuondoa madarakani wakati afya yake siyo nzuri na kuwa rais ni pamoja na kuwa mwenye afya nzuri wakati wote. JK afya yake zero.
Hivi kweli baada ya kuzimia ati nilisikia alirudi na kuendelea na risala au hotuba sijui ni nini? Hivi kweli Wabunge wote wanafanywa watoto wadogo na kuendekeza huu ujinga. Jakaya Kikwete ni mgonjwa na wakati wowote jambo lolote linaweza kutokea, kwa nini wabunge waliopewa dhamana wanaweka maisha ya Watanzania million 40 kwenye mashaka ya kuwa na kiongozi ambaye uwezo wake wa kuongoza hauko sawa sawa? JK hayuko fit kuongoza kwa nini anang’ang’ania madaraka na kuuza nchi kama njugu? Au kwa sababu anafahamu atatutoka hivi karibuni?
Wabunge fanyeni kazi yenu na kutuondolea hii dhihaka. Wananchi wamewapa dhamana kuona nchi haitetereki – rais mgonjwa hawezi kuwashughulikia mafisadi - muda mwingi ni wa kuangalia afya yake, hata nchi ikivamiwa atakuwa amezimia. Vifungu vipo kisheria vya kumuondoa madarakani wakati afya yake siyo nzuri na kuwa rais ni pamoja na kuwa mwenye afya nzuri wakati wote. JK afya yake zero.