mwanakijiji
08-19-2010, 06:11 PM
Bila ya shaka wengine mtakuwa mmeshasikia jinsi wiki iiliyopita makundi ya vijana walijipeleka huko Kisarawe katika mpango wa "kilimo kwanza" ili waweze kujipatia maeneo ya ardhi kwenye kijiji kimojawapo. Wakalipa kila mtu nadhani shilingi laki moja na "kugawiwa" viwanja. Kumbe hakuna viwanja vinavyogawiwa!!
http://www.youtube.com/watch?v=ZMRds_lriCE
http://www.youtube.com/watch?v=ZMRds_lriCE