mwanakijiji
11-26-2008, 07:08 PM
Hivi kweli adhabu ya kuchomolewa ni kifo? Hawa watu wenye ujasiri wa kutia watu wengine "kiberiti" kwa makosa ya usumbufu na kero kwanini na wenyewe wasitiwe pingu? Kama wale waliopopoa msafara wa Rais waliweza kutafutwa kwa udi na uvumba, ni mpaka lini vitendo hivi vya kinyama na vilivyozoelewa vitakomeshwa?
Kweli sisi bado tuna tabia za kijima namna hii?
http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1227681970_kibaka.jpg
http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1227681970_kibaka_1.jpg
kweli tutafika na mawazo ya namna hii?
Kweli sisi bado tuna tabia za kijima namna hii?
http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1227681970_kibaka.jpg
http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1227681970_kibaka_1.jpg
kweli tutafika na mawazo ya namna hii?