PDA

View Full Version : asanteni



Mr. XXX
11-28-2008, 07:36 PM
Mkuu Mwanakijiji ni timu nzima naomba kuungana nanyi katika mijadala mbalimbali. Tumetoka mbali pamoja na ninaamini tutaendelea pamoja. Ninapenda mambo mengi na hapa najisikia nyumbani.

Hodi?

Mpita Njia
11-28-2008, 09:35 PM
kwa kuwas umeshasema kuwa unajisikia nyumbani, naamini hutopata shida. karibu sana

Ach-F
11-29-2008, 02:15 AM
X cubed

Karibu sana kwenye mkeka huu ambao unawasha moto mara moja.

Kepa
11-29-2008, 04:46 AM
Mkuu Mwanakijiji ni timu nzima naomba kuungana nanyi katika mijadala mbalimbali. Tumetoka mbali pamoja na ninaamini tutaendelea pamoja. Ninapenda mambo mengi na hapa najisikia nyumbani.

Hodi?

Umeshafika.!!!

Mchungaji Ladslaus
12-01-2008, 09:06 AM
Karibu kundini.
Hilo jina lako la XXX nitakubatiza lingine nikuite XYXYXY.

My more
12-01-2008, 06:10 PM
Karibu kundini.
Hilo jina lako la XXX nitakubatiza lingine nikuite XYXYXY.

Mchungaji naona umeshaanza kazi rasmi:D:D:D Kila la heri.

duru langu
12-03-2008, 12:13 AM
Mchungaji unaogopa XXX yaweza tafsiriwa vingine? lol

Kepa
12-08-2008, 12:38 AM
Mchungaji unaogopa XXX yaweza tafsiriwa vingine? lol

Mzee tukupe kibarua cha kututafsiria majina nini? naona unakakipaji