PDA

View Full Version : Usalama wa Taifa wachunguzwe!



mwanakijiji
12-02-2008, 06:24 PM
Mchezo unaochezwa na watu wa UwT haukubaliki.

a. Mchukue Nyaraka za BoT (bila makabidhiano rasmi na Gavana mpya) na anayetumwa kuongoza operesheni hiyo ni mtu ambaye anahusishwa na kuchukua fedha za EPA halafu baadaye anaongoza kamata kamata ya wenzake.

b. Mtu huyu alistaafu mkamrudisha kwa "maagizo" ya Apson

c. Mtuhumiwa huyo huyo mkamuacha aongoze taskforce hiyo!

d. Wakati akiwa mtumishi wa TISS alishaanza biashara zake za pembeni

e. Mpango wa kumpeleka Mtaliano mahakamani (ka nzi keti kamemuona ananyong'onyea siku hizi mbili) (hujui ni nani soma Cheche) ukitekelezwa hakikisheni na Ngowi yumo.

f. Hadithi mliyoitunga ya Infiltration inaweza kupanguliwa kama kuangushwa kijiti cha "tule tumbakishie baba").

g. Bahati mbaya sana kama wahalifu wengine wahalifu hufanya makosa na Apson na Ngowi wamefanya makosa ambayo mnayajua na mnashiriki kuyaficha kwa sababu ni "wenzenu".

Mnataka kupewa pongezi kwa yale yanayoendelea sasa, hata hivyo pongezi hizo zinakuja kwa sababu wenyewe mnashiriki kuchafua ushahidi na mchakato mzima wa kutafuta haki.

Ushauri wangu kwa DPP. Ingilia kati UwT na uichunguze vinginevyo unaingizwa mjini kwa ushahidi nusu!!

Mr. XXX
12-09-2008, 06:29 PM
Usalama wa Taifa hakuna wa kuwachunguza. Ni taasisi nyeti na ndio maana inatiwa usalama wa Taifa. Ingekuwa usalama wa kijiji au wa mkoa ungekuwa na hoja. Mambo ya usalama wa Taifa ni nyeti na sijui hii tabia ya kuuandika andika imetoka wapi. Kwanza pia mtambue ni kosa la kisheria kutaja kuwa fulani ni afisa wa usalama wa Taifa.

Watu wa usalama wana mambo muhimu zaidi ya kufanya kwa Taifa kuliko kujiingiza katika malumbano yenu ya kisiasa.

Matigari
12-18-2008, 05:23 PM
I do not know much about usalama wa taifa, but. I would expect them to investigate each other or at least have information about each other if they feel that one of them is a crook. Frankly speaking I do not have confidence with the current members it does not feel to me that they are patriotic enough, and this is not their fault it looks like generally all of us do not have love and pride for the country, we do not know that we are our brothers keepers, that we need to defend ,protect and help every Tanzanian. I do not believe that Albinos are being killed and the UwT is looking doing nothing, what does it take to figure out who commits these murders? What about mob justice to petty thieves? Usalama wa Taifa wanaona raha gani kuokota maiti barabarani kila siku? Hao majambazi kweli mmeshindwa kuwapenetrate? Come on guys you are better than that.

Ndahani
12-23-2008, 12:12 AM
Usalama wa Taifa ulizikwa alipozikwa Mwalimu Nyerere..now days, by behaviors of majority who work there, it has become a bunch of egotists and thieves, who think they hold that high office to enrich themselves and assist those they want to steal four resources.They have made the institution an outcast and a favorite place for watoto wa vigogo wasio na pakwenda.
God bless our country kwasababu hawa jamaa wanatuandalia tatizo kubwa kwa kutumia institution hii kuendeleza uozo uliozagaa leo karibu kila sehemu ndani ya serikali

ChingaMzalendo
12-25-2008, 07:28 AM
Usalama wa Taifa ulizikwa alipozikwa Mwalimu Nyerere..now days, by behaviors of majority who work there, it has become a bunch of egotists and thieves, who think they hold that high office to enrich themselves and assist those they want to steal four resources.They have made the institution an outcast and a favorite place for watoto wa vigogo wasio na pakwenda.
God bless our country kwasababu hawa jamaa wanatuandalia tatizo kubwa kwa kutumia institution hii kuendeleza uozo uliozagaa leo karibu kila sehemu ndani ya serikali

Anayebidi kuchunguzwa ni waziri wa mambo ya ndani (Masha) ambaye anaitumia usalama wa Taifa kujifanyia mikutano midogo midogo usiku kujitayarishia njia ya ikulu 2010. They guy is on the run, yaani kil amwezi anakuwa na vikao kwenye resrautants akitayarihs mikakati

mwanakijiji
12-25-2008, 08:53 PM
Anayebidi kuchunguzwa ni waziri wa mambo ya ndani (Masha) ambaye anaitumia usalama wa Taifa kujifanyia mikutano midogo midogo usiku kujitayarishia njia ya ikulu 2010. They guy is on the run, yaani kil amwezi anakuwa na vikao kwenye resrautants akitayarihs mikakati

Yeye ndiyo Waziri wa Mambo ya Ndani unafikiri kweli kuna mtu anaweza akapanga kumchunguza? Mtu yeyote atakeyajaribu wazo la namna hiyo atadaiwa kuwa ana wivu na msomi huyo toka Georgetown na Mwanasheria mahiri