View Full Version : Ngeleja: "Hatutanunua mitambo ya Dowans"
mwanakijiji
12-17-2008, 05:20 PM
Habari ndiyo hiyo:
http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1229518579_waziriwanishati.jpg
My more
12-18-2008, 12:51 AM
Ati? Hatutanunua au Tutanunua?
mwanakijiji
12-18-2008, 01:00 AM
Hatutanunua! ni makosa yangu.
My more
12-18-2008, 03:17 AM
Hatutanunua! ni makosa yangu.
Good call Mwanakijiji !!
Hii ni dalili ya mvua Mheshimiwa Ngeleja?
Naona sasa kuna misemo ya kiswahili itabidi iwe outdated hasa kwenye jukwaa la siasa, Kwa mfano:-
Kelele za Chura hazimzuii tembo kunywa maji
Iweke hivi, Kelele za walalahoi / wapiganaji hivi sasa zinawazuia viongozi kula rushwa, kutowajibika ipasavyo, kuwa mafisadi, kujiamulia mambo kienyeji kwa manufaa yao wenyewe.....!
Powered by vBulletin™ Version 4.0.2 Copyright © 2012 vBulletin Solutions, Inc. All rights reserved.