Mr. XXX
01-02-2009, 07:08 PM
http://www.globalpublisherstz.com/uploads/posts/thumbs/1230897849_img_0395.jpg
Imeandikwa kwenye global publishers
Mtangazaji wa kituo cha Luninga cha East Africa (EATV) cha Jijini Dar es Salaam, Maimartha Jesey akionekana katika pozi la kiana. Baadhi ya wadau waliponda kuwa kwa jinsi alivyo hivi sasa, hasa kutokana na kujichubua kwa vipodozi na pozi aliloweka anaonekana kama mdoli.
yawezekana kuwa anatumia poda vibaya? mbona miye naona anapendeza tu, yuko bomba kichizi hasa hizo boots zake. Halafu ana usafiri wa nguvu tu.
Imeandikwa kwenye global publishers
Mtangazaji wa kituo cha Luninga cha East Africa (EATV) cha Jijini Dar es Salaam, Maimartha Jesey akionekana katika pozi la kiana. Baadhi ya wadau waliponda kuwa kwa jinsi alivyo hivi sasa, hasa kutokana na kujichubua kwa vipodozi na pozi aliloweka anaonekana kama mdoli.
yawezekana kuwa anatumia poda vibaya? mbona miye naona anapendeza tu, yuko bomba kichizi hasa hizo boots zake. Halafu ana usafiri wa nguvu tu.