outlier
01-11-2009, 06:55 PM
Nimesikia watu 29 wamepoteza maisha- Tashrif bus imepata ajali mbaya jana saa 3 usiku. Ilitokea DAR kwenda TANGA, ilipofika Hale pale kituo cha mafuta cha Makinyumbi iligonga gari la magogo lililokuwa limepaki pembeni kwa matengenezo, ni baada ya kujaribu ku-overtake gari nyingine! Watu wengi walipoteza life palepale na mmoja kufia Muheza hospital kufanya idadi ya vifo kuwa 27 ama 29 hivi.
MUNGU awalaze mahala pema peponi. Amen
MUNGU awalaze mahala pema peponi. Amen