PDA

View Full Version : Ajali Mbaya Hale, Tanga!



outlier
01-11-2009, 06:55 PM
Nimesikia watu 29 wamepoteza maisha- Tashrif bus imepata ajali mbaya jana saa 3 usiku. Ilitokea DAR kwenda TANGA, ilipofika Hale pale kituo cha mafuta cha Makinyumbi iligonga gari la magogo lililokuwa limepaki pembeni kwa matengenezo, ni baada ya kujaribu ku-overtake gari nyingine! Watu wengi walipoteza life palepale na mmoja kufia Muheza hospital kufanya idadi ya vifo kuwa 27 ama 29 hivi.
MUNGU awalaze mahala pema peponi. Amen

zion
01-11-2009, 08:50 PM
Mungu azilaze Pema Peponi Roho za Marehemu.