Mr. XXX
01-14-2009, 11:46 PM
Wapinzani wakubali au wasikubali mkuu umeonyesha njia na unaonyesha mfano wa uongozi!
- ulikubali Waziri wako Mkuu ajiuzulu kwa kashfa na wala hukujaribu kumtetea
- ulikubali baraza livunjike na serikali yako iaabike ili uweze kuanza upya
- ulipuuza maneno ya wapinzani ambao wamejaribu sana kukukatisha tamaa na kukufanya uonekane wewe wa kuja.
- uliruhusu mmoja wa mabalozi kufikishwa mahakamani bila kuchelewa
- watuhumiwa wa EPA ambao watu walisema hawatachukuliwa hatua sasa hivi wanahaha
- Mawaziri waliokuwa na kiburi na waliokifanya chama chetu kionekane vibaya hawana tena pa kuficha nyuso zao.
- Mtu wa Richmond amefikishwa mahakamani huku wenzake ukiwaweka tayari kuwabanika kama kuku wa kienyeji
- watu wa Kagoda nao nina uhakika hawako mbali.
- Umesababisha hata aliyekuwa Waziri Mkuu mwenye kimbelembele cha kujifanya anapiga vita rushwa aanze yeye mwenyewe kujitetea kabla ya kushtakiwa!
kutoka kwa wanachama watiifu wa CCM, vijana ambao tumenyweshwa maji ya bendera tunasema hongera baba, ongeza mwendo mpaka vyama vyote vya upinzani vitoweke nchini na taifa letu liwe katika demokrasia ya chama kimoja!
- ulikubali Waziri wako Mkuu ajiuzulu kwa kashfa na wala hukujaribu kumtetea
- ulikubali baraza livunjike na serikali yako iaabike ili uweze kuanza upya
- ulipuuza maneno ya wapinzani ambao wamejaribu sana kukukatisha tamaa na kukufanya uonekane wewe wa kuja.
- uliruhusu mmoja wa mabalozi kufikishwa mahakamani bila kuchelewa
- watuhumiwa wa EPA ambao watu walisema hawatachukuliwa hatua sasa hivi wanahaha
- Mawaziri waliokuwa na kiburi na waliokifanya chama chetu kionekane vibaya hawana tena pa kuficha nyuso zao.
- Mtu wa Richmond amefikishwa mahakamani huku wenzake ukiwaweka tayari kuwabanika kama kuku wa kienyeji
- watu wa Kagoda nao nina uhakika hawako mbali.
- Umesababisha hata aliyekuwa Waziri Mkuu mwenye kimbelembele cha kujifanya anapiga vita rushwa aanze yeye mwenyewe kujitetea kabla ya kushtakiwa!
kutoka kwa wanachama watiifu wa CCM, vijana ambao tumenyweshwa maji ya bendera tunasema hongera baba, ongeza mwendo mpaka vyama vyote vya upinzani vitoweke nchini na taifa letu liwe katika demokrasia ya chama kimoja!