mwanakijiji
01-16-2009, 09:01 AM
Nikiri ya kwamba nimesikitishwa na kushangazwa sana na baadhi ya ukosoaji wa Mhe. Simba kufuatia mahojiano yangu naye siku chache zilizopita. Kilichonisikitisha zaidi ni jinsi gani baadhi yetu tuna angalia vitu ambavyo si vya msingi na kuviacha vya msingi; kilichonishangaza zaidi ni jinsi gani wengine wamekuwa wa kali kiasi cha wao wenyewe kuwa kile wanachomtuhumu Mhe. Simba.. arrogance!
Katika mahojiano yangu na watu mbalimbali (kama Dr. Migiro, Dr. Salim, na wengineo) sijawahi kujaribu kumtetea mtu yeyote kwa majibu yake. Hata hivyo katika hili la Mhe. Simba nimeona kilele cha kebehi na kina cha parapanda ya unafiki wa uongo. Wengi wamemhukumu Mhe. Sofia kwa ukali ambao haukustahili na umeenda zaidi ya ukosoaji wa kumjenga mtu!
Kwa hawa nina ujumbe ufuatao: Sikiliza!
BONYEZA HAPA KUSIKILIZA (http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-15T21_40_42-08_00)
Unaweza kusikiliza pia kwenye ukurasa wetu wa mbele kwenye Podcasts au hapo juu kwenye podcasts.
Katika mahojiano yangu na watu mbalimbali (kama Dr. Migiro, Dr. Salim, na wengineo) sijawahi kujaribu kumtetea mtu yeyote kwa majibu yake. Hata hivyo katika hili la Mhe. Simba nimeona kilele cha kebehi na kina cha parapanda ya unafiki wa uongo. Wengi wamemhukumu Mhe. Sofia kwa ukali ambao haukustahili na umeenda zaidi ya ukosoaji wa kumjenga mtu!
Kwa hawa nina ujumbe ufuatao: Sikiliza!
BONYEZA HAPA KUSIKILIZA (http://mwanakijiji.podOmatic.com/entry/2009-01-15T21_40_42-08_00)
Unaweza kusikiliza pia kwenye ukurasa wetu wa mbele kwenye Podcasts au hapo juu kwenye podcasts.