pundamilia
01-23-2009, 10:38 AM
Mzee Mwanakijiji,
Hebu nieleze ninatakiwa kujitambulishaje?
Anyway ahsante kwa kunikaribisha hapa barazani kwako, natumaini tutapa fursa nyingine ya kupeana changamoto mbalimbali na jinsi ya kupiga hatua moja na nyingine mbele kwa kuongelea masuala tofauti ya kijamii.
Ninakupongeza kwa kuweka barza mbadala, haya ndiyo maendeleo tunayoyataka.
Hebu nieleze ninatakiwa kujitambulishaje?
Anyway ahsante kwa kunikaribisha hapa barazani kwako, natumaini tutapa fursa nyingine ya kupeana changamoto mbalimbali na jinsi ya kupiga hatua moja na nyingine mbele kwa kuongelea masuala tofauti ya kijamii.
Ninakupongeza kwa kuweka barza mbadala, haya ndiyo maendeleo tunayoyataka.