mwanakijiji
11-10-2008, 06:58 AM
Bibi Aziza wa Gumzo alitoa maelekezo yafuatayo:
Mahitaji:
Nyama ya kuku ,
maji juisi ya limao ,
nyanya,
chumvi,
mvinyo wa kupikia ,
vitunguu maji ,
tangawizi.
Maelekezo
Osha nyama ya kuku halafu uikate iwe vipande, koroga pamoja na chumvi, mvinyo wa kupikia, pilipili manga, tangawizi na vitunguu maji. Koroga maji juisi ya limao pamoja na unga, chumvi, pilipili manga, yai na mafuta.
Washa moto, mimina mafuta kwenye sufuria, weka vipande vya nyama ya kuku kwenye unga uliokorogwa, halafu weka ndani ya sufuria vikaange, halafu vipakue.
Washa moto tena, mimina maji kwenye sufuria, halafu tia chumvi, sukari, maji juisi ya limao, korogakoroga halafu mimina maji ya wanga, korogakoroga, tia vipande vya nyama ya kuku korogakoroga vipakue. Mpaka hapo kitoweo hiki kiko tayari kuliwa.
Razz Razz Razz Razz Razz Razz Razz Razz
ukimaliza kula futa mdomo. Very Happy
Mahitaji:
Nyama ya kuku ,
maji juisi ya limao ,
nyanya,
chumvi,
mvinyo wa kupikia ,
vitunguu maji ,
tangawizi.
Maelekezo
Osha nyama ya kuku halafu uikate iwe vipande, koroga pamoja na chumvi, mvinyo wa kupikia, pilipili manga, tangawizi na vitunguu maji. Koroga maji juisi ya limao pamoja na unga, chumvi, pilipili manga, yai na mafuta.
Washa moto, mimina mafuta kwenye sufuria, weka vipande vya nyama ya kuku kwenye unga uliokorogwa, halafu weka ndani ya sufuria vikaange, halafu vipakue.
Washa moto tena, mimina maji kwenye sufuria, halafu tia chumvi, sukari, maji juisi ya limao, korogakoroga halafu mimina maji ya wanga, korogakoroga, tia vipande vya nyama ya kuku korogakoroga vipakue. Mpaka hapo kitoweo hiki kiko tayari kuliwa.
Razz Razz Razz Razz Razz Razz Razz Razz
ukimaliza kula futa mdomo. Very Happy