PDA

View Full Version : UDSM waanza mgomo



Mpita Njia
11-10-2008, 11:01 AM
Mmoja wa viongozi wa DARUSO (mabye hakujitambulish kwangu) amenipigia simu sasa hivi akinitaarifu kuwa wameanza mgomo wao rasmi leo. Ikumbukwe kuwa walisema mgomo huo hautakuwa na kikomo.
Pia kuna habari (ambazo ninazifuatilia) kuwa wananfunzi wengine wataandamana leo kuelekea Bodi ya Mikopo. haya yote ni katika harakati zao za kupinga sera ya mikopo wanayodai kwua inawakandamiza watotow a wazazi masikini

mwanakijiji
11-10-2008, 05:16 PM
Hivi kuna tatizo gani elimu ya juu? Yaani kweli tumeshindwa kushughulikia tatizo hili la mikopo..?

Mpita Njia
11-12-2008, 02:23 PM
Leo ni siku ya tatu wanafunzi wamekaidi kuingia madarasani kama walivyoamriwa jana na uongozi umekifunga chuo, Hivi sasa kuna hekaheka chuoni wanafunzi wakiwahi kubeba mabegi yao na kuondoka

mwanakijiji
11-12-2008, 07:20 PM
Hivi mitihani inakaribia?

Kepa
11-12-2008, 07:58 PM
Hivi kuna tatizo gani elimu ya juu? Yaani kweli tumeshindwa kushughulikia tatizo hili la mikopo..?

Tatizo ni vyote vyote,haki, mikopo, ajira, mitihani vyote mumo kwa mumo:mad: