View Full Version : Hodi Kijijini
Sabode
03-17-2009, 07:37 PM
Heshima mbele wakuu.
Hodi hapa kijijini. Hope nitakutana na waungwana kujadili hili nalile ari mradi Tanzania itapona hilo mimi ndo lengo langu. Nakubali kukosolewa na kuelekezwa na kufunzwa pia .
Hope kuwa mengi nitajifunza hapa na pia nitachangia niloo nayo.
Bila shaka nimekaribishwa. Na ASANTE SAAAAAAANA
mwanakijiji
03-17-2009, 09:56 PM
Heshima mbele wakuu.
Hodi hapa kijijini. Hope nitakutana na waungwana kujadili hili nalile ari mradi Tanzania itapona hilo mimi ndo lengo langu. Nakubali kukosolewa na kuelekezwa na kufunzwa pia .
Hope kuwa mengi nitajifunza hapa na pia nitachangia niloo nayo.
Bila shaka nimekaribishwa. Na ASANTE SAAAAAAANA
Karibu kabisa na ujisikie uko kijijini mi casa, su casa!
Mpita Njia
03-23-2009, 08:17 PM
Karibu kabisa na ujisikie uko kijijini mi casa, su casa!
Umenikumbusha mbali na huu usemi
Sabode
07-14-2009, 06:08 PM
Mzee wa kijiji salam.
Ni siku nyingi nimekuwa nikijaribu kufungua chumba lakini sina ufunguo na kwenye room la mapicha pia sina unakuaje huko.
Naomba muongozo asante
mwanakijiji
07-14-2009, 10:59 PM
Mzee wa kijiji salam.
Ni siku nyingi nimekuwa nikijaribu kufungua chumba lakini sina ufunguo na kwenye room la mapicha pia sina unakuaje huko.
Naomba muongozo asante
tume ujumbe kwa PM kuelekea kwa 'administrator' na umuambie umri wako (haiwezi kuwa chini ya 18 au umri unaotambua utu uzima mahali ulipo. Na yeye bila ya shaka atakupatia ufunguo tu.
Powered by vBulletin™ Version 4.0.2 Copyright © 2012 vBulletin Solutions, Inc. All rights reserved.