PDA

View Full Version : Hongera Makange kuhitimu!!



mwanakijiji
03-18-2009, 09:37 PM
Jamani,

Ninayofuraha kijana wetu na Administrator wetu Makange anahitimu Chuo Kikuu (Alhamisi) hii yaani kesho.

Kwa niaba ya utawala mzima wa KLHN, wanachama, wapenzi, mashabiki na wakosoaji wote tunapenda kumpa pongezi za dhati kabisa kwa kufikia hatua hii muhimu katika maisha. Pamoja na kujiandaa na kitabu kwa muda huu wote tumeweza kuwa pamoja katika kuendeleza shughuli zetu mbalimbali na hasa usimamizi wa tovuti yetu hii mahiri.

Tunamtakia mafanikio mema katika mambo atakayoanza kufanya na tunauhakika yote aliyojifunza yatatumika katika kumpa maisha ya heri na fanaka na wakati huo huo kuleta mafanikio kwa Taifa letu.

"Mama nanii.. leteni keki basi..."


M.M.

Dua
03-19-2009, 01:32 AM
Hongera bali usisahau wajibu wako.

QUTE
03-19-2009, 09:22 PM
HONGERA MAKANGE

jina lako linafanana na jina la chakula ninachokipenda "MAKANGE" lol

Mpita Njia
03-20-2009, 06:55 PM
Hongera mkuu, naamini ufanisi utaongezeka sasa

Angeris
03-20-2009, 10:17 PM
Hongera sana ndugu Makange!

Steve Dii
03-27-2009, 03:38 AM
Makange,

Nami naungana na wenzangu kukupongeza kwa kuhitimu, Hongera Sana Mkuu, Ninakutakia mafanikio mema baada ya masomo!

SteveD.