PDA

View Full Version : Exclusive: Mabilioni ya CUF yanatumika vipi?



mwanakijiji
03-26-2009, 08:40 PM
http://www.mwanakijiji.com/images/stories/habari/gallery/ruzukucuf_phixr.jpg

mambo ya kuzingatia:

a. Baada ya CCM, CUF ni chama cha pili kinachopokea ruzuku nyingi toka serikalini.

b. Pesa hizo ni nje ya wanazopata kupitia wafadhili, miradi yao mbalimbali (kama wanayo), uwekezaji benki (kama wanafanya) na michango ya wanachama (kama ipo)

c. ni nje ya fedha za mishara ya wabunge na wawakilishi wake

Nitaendelea kuwaletea taarifa za vyama vingine vikuu vinavyopokea ruzuku ya fedha za walipa kodi wa Tanzania kwa kadiri siku zinavyokwenda na kwa kadiri zinavyopatikana

Dua
03-28-2009, 03:11 AM
And then you wonder kwa nini wasomi wanagombea ubunge na kukimbilia kwenye siasa. CCM hawawezi kuachia madaraka na wataendelea kuididimiza nchi.

Je, hizo pesa wanatumia vipi? Je, uwakilishi wao unakwenda sambamba na pesa wanayopata? Je, wanapata kiasi gani kutoka kwa serikali ya mapinduzi Zanzibar?