911
04-03-2009, 12:39 PM
Uvivu kama huu ni noma!
Kijana: Baba naomba glasi moja ya maji ya kunywa
Baba: Si uchukue mwenyewe kichaa nini! Kijana: jamani si nimekuomba lakini..
Baba: Ukisema tena ntakuja kukuzaba kibao
Kijana: Basi ukija kunizaba kibao uje na maji ya kunywa pia!
Kijana: Baba naomba glasi moja ya maji ya kunywa
Baba: Si uchukue mwenyewe kichaa nini! Kijana: jamani si nimekuomba lakini..
Baba: Ukisema tena ntakuja kukuzaba kibao
Kijana: Basi ukija kunizaba kibao uje na maji ya kunywa pia!