PDA

View Full Version : Kikwete kupeperuka!~



mwanakijiji
04-14-2009, 10:53 PM
Rais Kikwete anatarajiwa kuwa safarini kuelekea Saudi Arabia... Sijui kama keshapeperuka au ndiyo yuko mbioni kupaa tena. Nadhani ni katika juhudi za kuendelea kutafuta misaada mbalimbali kwa ajili yetu!

Ach-F
04-15-2009, 11:35 PM
Wahenga walisema ponda mali kufa kwaja.