Dalali
04-24-2009, 03:54 PM
]Iliposomwa taarifa ya Mengi akiongelea Mafisadi kwa majina nilipata ganzi kwani nilifikiria huyu Mzee antafuta nini?
Nilidhani 1-Mzee anatafuta umaarufu siku za mwiso mwisho 2-Anamkumbusha DPP kuwa mafisadi wengi amewaacha. 3-Mzee katumwa kusafisha njia ya mafisadi wazalendo 4-mzee amechoka kuishi 5-Anatumia haki yake kusema linalomsibu kama raia mwema tena Tajiri. Nafikiri sababu ya tatu imechota fikra nyingi kwa vile tulipo tu njia PANDA ki-Siasa mambo yanakoelekea ni kule watawala hawakutaka tuende ile wamejikuta wanaenda tena kwa kasi ya ajabu.Muda wa kufikia kipenga ni mfupi kulikospeed yetu na kwa kuwa breki hazifanyi kazi mti unatafutwa na dereva kugotesha hili lori ili usalama upatikane.
Papa waliotajwa ni Waasia watu wa kuja nasi tu malaya wa kujiuza kwao na nchi tunayo tunapokwenda kwao tukiwahakikishia usalama kwa lolote baya na pesa wanzo kwa nini wasivune?
Nadhani JK anaona upepo uvumao si salama kwa jahazi na ana nadhiri na mafisadi kwani ilifaa sana waachie madaraka yao yote kwa harufu hii mbaya iliyowakumba.Kutafuta fabricated justification inatia shaka.Naogopa umaarufu wa huyu mzee kutumika vibaya.Issue zote ziko Mahakamani tuone zinafanyikaje huko na nani anatengenezewa daraja avuke mto.Hii ni njia ya kusafisha chama kilichojaa watu waovu.Mengi hajataja jina hata moja la Mswahili je hawapo, au wao ni nafuu.Huwezi kuoga taulo ukiwa nalo kiunoni.
Mapapa ni sisi kwa vile tulishafikaia hatua tunasaini mikataba mizito nje ya nchi tena umalaya huu papa akuache.Mzee Mengi awataje waswahili walio nusu papa tuwajue na kila mmoja amehusikaje! ukifikia hatua ya kutetea mikataba ya kuibia wananchi bila aibu ni ideolgy za mapapa
Takari
dalali
Nilidhani 1-Mzee anatafuta umaarufu siku za mwiso mwisho 2-Anamkumbusha DPP kuwa mafisadi wengi amewaacha. 3-Mzee katumwa kusafisha njia ya mafisadi wazalendo 4-mzee amechoka kuishi 5-Anatumia haki yake kusema linalomsibu kama raia mwema tena Tajiri. Nafikiri sababu ya tatu imechota fikra nyingi kwa vile tulipo tu njia PANDA ki-Siasa mambo yanakoelekea ni kule watawala hawakutaka tuende ile wamejikuta wanaenda tena kwa kasi ya ajabu.Muda wa kufikia kipenga ni mfupi kulikospeed yetu na kwa kuwa breki hazifanyi kazi mti unatafutwa na dereva kugotesha hili lori ili usalama upatikane.
Papa waliotajwa ni Waasia watu wa kuja nasi tu malaya wa kujiuza kwao na nchi tunayo tunapokwenda kwao tukiwahakikishia usalama kwa lolote baya na pesa wanzo kwa nini wasivune?
Nadhani JK anaona upepo uvumao si salama kwa jahazi na ana nadhiri na mafisadi kwani ilifaa sana waachie madaraka yao yote kwa harufu hii mbaya iliyowakumba.Kutafuta fabricated justification inatia shaka.Naogopa umaarufu wa huyu mzee kutumika vibaya.Issue zote ziko Mahakamani tuone zinafanyikaje huko na nani anatengenezewa daraja avuke mto.Hii ni njia ya kusafisha chama kilichojaa watu waovu.Mengi hajataja jina hata moja la Mswahili je hawapo, au wao ni nafuu.Huwezi kuoga taulo ukiwa nalo kiunoni.
Mapapa ni sisi kwa vile tulishafikaia hatua tunasaini mikataba mizito nje ya nchi tena umalaya huu papa akuache.Mzee Mengi awataje waswahili walio nusu papa tuwajue na kila mmoja amehusikaje! ukifikia hatua ya kutetea mikataba ya kuibia wananchi bila aibu ni ideolgy za mapapa
Takari
dalali