mwanakijiji
11-12-2008, 04:02 PM
Mapishi ya Bi. Aziza yanaendelea hivi:
MAHITAJI
mchele nusu kilo
Tumia nusu ya robo ya unga wa ngano
Sukari unavyopenda
vijiko 2 vya cha Hamira
vikombe 2 vya chai tui la nazi
Mafuta ya kupikia
Iliki
MAPISHI:
MATAYARISHO
-Osha na kuroweka mchele ndani ya maji ya baridi masaa manane au siku moja.
- Mimina vifaa vyote ispokuwa sukari, ndani ya blender na usage mpaka mchele uwe umesagika kabisa.
- Mimina sukari ndani ya mchanganyiko na usage tena kidogo tu.
- Mimina mchanganyiko ndani ya bakuli na ufinike. Weka bakuli mahali penye joto ili mchanganyiko uuumuke.
- Mchanganyiko ukisha umuka, weka karai kwenye moto.
- Tumia kama kijiko 1-2 cha chai cha samli kwa kukaangia kila kitumbua.
- Mimina mchanganyiko kiasi kwenye karai kulingana na kikarai unachotumia.
- Kitumbua kikiiva upande mmoja, geuza upande wa pili mpaka kiwe tayari.
- Panga kwenye sahani. unaweza kula vitumbua vikiwa moto au vikipowa.
MAHITAJI
mchele nusu kilo
Tumia nusu ya robo ya unga wa ngano
Sukari unavyopenda
vijiko 2 vya cha Hamira
vikombe 2 vya chai tui la nazi
Mafuta ya kupikia
Iliki
MAPISHI:
MATAYARISHO
-Osha na kuroweka mchele ndani ya maji ya baridi masaa manane au siku moja.
- Mimina vifaa vyote ispokuwa sukari, ndani ya blender na usage mpaka mchele uwe umesagika kabisa.
- Mimina sukari ndani ya mchanganyiko na usage tena kidogo tu.
- Mimina mchanganyiko ndani ya bakuli na ufinike. Weka bakuli mahali penye joto ili mchanganyiko uuumuke.
- Mchanganyiko ukisha umuka, weka karai kwenye moto.
- Tumia kama kijiko 1-2 cha chai cha samli kwa kukaangia kila kitumbua.
- Mimina mchanganyiko kiasi kwenye karai kulingana na kikarai unachotumia.
- Kitumbua kikiiva upande mmoja, geuza upande wa pili mpaka kiwe tayari.
- Panga kwenye sahani. unaweza kula vitumbua vikiwa moto au vikipowa.