mwanakijiji
05-10-2009, 11:42 PM
Mambo yaliyotokea Benki Kuu kama yangetokea mahali ambapo kweli kuna utawala wa sheria na viongozi wenye kuthubutu kuna watu wangekuwa Segerea siku nyingi kweli. Madudu yaliyotokea hapo yananifanya nijiulize hasa tatizo lililokuwepo na bado lipo ni ninii hasa?
Iliwezekana vipi karibu shilingi trilioni moja kuchotwa kama kisimani na hadi leo hakuna mtu aliyefungwa au kushtakiwa kwa kuhujumu uchumi?
Iliwezekana vipi karibu shilingi trilioni moja kuchotwa kama kisimani na hadi leo hakuna mtu aliyefungwa au kushtakiwa kwa kuhujumu uchumi?