Zero
05-31-2009, 11:56 AM
How are you doing all?
My name is Zero na nimetokea kule forum ya jamii. Nimejiunga hapa katika harakati za kutafuta suluhisho la umaskini katika taifa letu. Posts zangu nyingi zitakuwa kule kwenye jukwaa la siasa, maana huko ndio naamini mabadiliko ya kweli yataanzia.
Thank you all!
My name is Zero na nimetokea kule forum ya jamii. Nimejiunga hapa katika harakati za kutafuta suluhisho la umaskini katika taifa letu. Posts zangu nyingi zitakuwa kule kwenye jukwaa la siasa, maana huko ndio naamini mabadiliko ya kweli yataanzia.
Thank you all!