mwanakijiji
06-03-2009, 10:58 PM
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Bw. Peter Efraim Mayunga Noni, kuwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) kuanzia
tarehe 27 Mei, 2009.
2. Hadi uteuzi wake Bwana Noni alikuwa Mkurugenzi wa Mipango,
Mikakati na Utendaji (Director of Strategic Planning and
Performance Review) katika Benki Kuu ya Tanzania.
3. Uteuzi huu ni kufuatia Bw. William A. Mlaki aliyekuwa Mkurugenzi
Mtendaji kustaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria.
TAARIFA HII IMETOLEWA NA MSEMAJI WA WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI
WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
1. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho
Kikwete amemteua Bw. Peter Efraim Mayunga Noni, kuwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Rasilimali Tanzania (TIB) kuanzia
tarehe 27 Mei, 2009.
2. Hadi uteuzi wake Bwana Noni alikuwa Mkurugenzi wa Mipango,
Mikakati na Utendaji (Director of Strategic Planning and
Performance Review) katika Benki Kuu ya Tanzania.
3. Uteuzi huu ni kufuatia Bw. William A. Mlaki aliyekuwa Mkurugenzi
Mtendaji kustaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria.
TAARIFA HII IMETOLEWA NA MSEMAJI WA WIZARA YA FEDHA NA UCHUMI