View Full Version : nipokeeni wazalendo wenzangu jamani
SamGhaddaffi
08-05-2009, 10:07 PM
hiki kijiji jamani kwa kweli ni kizuri..hata mandhari yake ya uwazi na ukweli imenifanya niamue kuhamia moja kwa moja na si kupangisha..natumaini mmenipata wazalendo wenzangu
Ach-F
08-06-2009, 01:50 AM
hiki kijiji jamani kwa kweli ni kizuri..hata mandhari yake ya uwazi na ukweli imenifanya niamue kuhamia moja kwa moja na si kupangisha..natumaini mmenipata wazalendo wenzangu
Karibu sana, hiki kijiji ardhi ipo kubwa tu tena huna haja ya kulipa kwa mafisadi.
mwanakijiji
08-06-2009, 05:29 PM
hiki kijiji jamani kwa kweli ni kizuri..hata mandhari yake ya uwazi na ukweli imenifanya niamue kuhamia moja kwa moja na si kupangisha..natumaini mmenipata wazalendo wenzangu
Karibu kabisa tena kwa mikono miwili na tunaona fahari kuungana nasi.
Akajase
08-06-2009, 08:51 PM
hiki kijiji jamani kwa kweli ni kizuri..hata mandhari yake ya uwazi na ukweli imenifanya niamue kuhamia moja kwa moja na si kupangisha..natumaini mmenipata wazalendo wenzangu
Karibu tena karibu sana.....lakini kuhusu uzalendo sina uhakika kama wewe ni mzalendo au la karibu tuishi sote ndipo tutakapo kutambua kuwa u mzalendo au mpunguza mwendo.
Tunawajua kwa matunda yao.
SamGhaddaffi
08-06-2009, 09:22 PM
ok nshakaribia kijijini tayari kwa kupambanua na kuchaanua mijadala mbalimbali itakayojiri..lkn nnaswali..kipi kipimo cha uzalendo
mwanakijiji
08-07-2009, 05:07 PM
Akajase.. .unajua kila nikisoma jina lako namkumbuka "Akajase Mbamba"!!
Powered by vBulletin™ Version 4.0.2 Copyright © 2012 vBulletin Solutions, Inc. All rights reserved.