Wakami
08-06-2009, 10:27 AM
:confused:
Wapendwa Watanzania,Jana kwenye taarifa ya habari ya Channel ten,taarifa za burudani na michezo,kuna eti sijui tamasha,sijui ni shindano la kutafuta miss Temeke kwa watoto wadogo miaka 6 hadi 11 hivi,hivi WATANZANIA labda mimi ndo sielewi watoto wetu tunawaandaaje jamani?
Kwa upeo wangu mdogo hayo mashindano hayafai kabisa na yangepigwa marufuku,badala ya watoto wafundishwe maarifa/taaluma mbalimbali sisi tunawaweka kambini eti wajifunze namna ya kutembea kama mamiss!Je wanasoma saa ngapi,wanapumzika saa ngapi!Na je hayo mashindano yanawasaidiaje hao watoto?
Kilichonikela sana jamani ehee eti mshindi wa kwanza atapata TV,na mshindi wa pili atapata redio,jamani WATANZANIA,ehee TV HUYO MTOTO WA MIAKA 6 inamsaidiaje?Zamani sijui siku hizi.ukifanya vizuri darasani,unapata zawadi ya MADAFTARI PAMOJA NA KALAMU ZA KUANDIKIA,Leo hii eti TV JAMANI!
Mbona hata wasitoe zawadi ya kumlipia ada ya masomo mpaka atakapomaliza chuo kikuu?Au hata wamnunulie sare ya shule?
WAANDAAJI HUO NI WIZI MTUPU,,MNAWATUMIA WATOTO KUTAKA KUJINUFAISHA NA HELA ZETU ZA VIINGILIO!
WADANGANYIKA TUSIPOKUWA MAKINI SHULE ZOTE ZITAFUTWA NA KUGEUZWA KAMBI ZA KUWAANDAA MAMISS!
Wapendwa Watanzania,Jana kwenye taarifa ya habari ya Channel ten,taarifa za burudani na michezo,kuna eti sijui tamasha,sijui ni shindano la kutafuta miss Temeke kwa watoto wadogo miaka 6 hadi 11 hivi,hivi WATANZANIA labda mimi ndo sielewi watoto wetu tunawaandaaje jamani?
Kwa upeo wangu mdogo hayo mashindano hayafai kabisa na yangepigwa marufuku,badala ya watoto wafundishwe maarifa/taaluma mbalimbali sisi tunawaweka kambini eti wajifunze namna ya kutembea kama mamiss!Je wanasoma saa ngapi,wanapumzika saa ngapi!Na je hayo mashindano yanawasaidiaje hao watoto?
Kilichonikela sana jamani ehee eti mshindi wa kwanza atapata TV,na mshindi wa pili atapata redio,jamani WATANZANIA,ehee TV HUYO MTOTO WA MIAKA 6 inamsaidiaje?Zamani sijui siku hizi.ukifanya vizuri darasani,unapata zawadi ya MADAFTARI PAMOJA NA KALAMU ZA KUANDIKIA,Leo hii eti TV JAMANI!
Mbona hata wasitoe zawadi ya kumlipia ada ya masomo mpaka atakapomaliza chuo kikuu?Au hata wamnunulie sare ya shule?
WAANDAAJI HUO NI WIZI MTUPU,,MNAWATUMIA WATOTO KUTAKA KUJINUFAISHA NA HELA ZETU ZA VIINGILIO!
WADANGANYIKA TUSIPOKUWA MAKINI SHULE ZOTE ZITAFUTWA NA KUGEUZWA KAMBI ZA KUWAANDAA MAMISS!