PDA

View Full Version : Breaking News: Manji awashtaki Dr. Slaa na Zitto



mwanakijiji
11-16-2008, 07:46 PM
Habari ambazo zimeingia muda si mrefu zinasema kuwa Mkurugenzi wa Makampuni ya Quality Group amefungua mashtaka dhidi ya viongozi wakuu wa Chadema Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) na Mhe. Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini) kwa kile ambacho amedai kuwa ni kumdhalilisha mbele ya jamii kufuatia kauli za viongozi wao baada ya Bw. Manji kualikwa kwenye mkutano mmoja wa biashara. Habari zaidi baadaye

Ach-F
11-16-2008, 11:30 PM
He can go to hell. Kichaa chake alichokwenda kutibiwa kimepona?

Kepa
11-17-2008, 03:03 AM
He can go to hell. Kichaa chake alichokwenda kutibiwa kimepona?

Nani alikwambia kichaa cha kutibiwa huwa kinapona??? Labda kimetulia tusubiri mwezi ukiingia giza...!!!

Kepa
11-17-2008, 03:04 AM
Habari ambazo zimeingia muda si mrefu zinasema kuwa Mkurugenzi wa Makampuni ya Quality Group amefungua mashtaka dhidi ya viongozi wakuu wa Chadema Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) na Mhe. Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini) kwa kile ambacho amedai kuwa ni kumdhalilisha mbele ya jamii kufuatia kauli za viongozi wao baada ya Bw. Manji kualikwa kwenye mkutano mmoja wa biashara. Habari zaidi baadaye


Vipi habari zaidi zinasemaje?? bado??

mwanakijiji
11-17-2008, 09:45 AM
details zaidi tutapata baadadye leo..

Mpita Njia
11-17-2008, 12:41 PM
Habari ambazo zimeingia muda si mrefu zinasema kuwa Mkurugenzi wa Makampuni ya Quality Group amefungua mashtaka dhidi ya viongozi wakuu wa Chadema Mhe. Dr. Wilbroad Slaa (Karatu) na Mhe. Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini) kwa kile ambacho amedai kuwa ni kumdhalilisha mbele ya jamii kufuatia kauli za viongozi wao baada ya Bw. Manji kualikwa kwenye mkutano mmoja wa biashara. Habari zaidi baadaye

Kama amedhalilishwa, kwa nini aliamua kuondoa jina lake? Still waiting for more info